Gurudumu la Uchumi
Mjadala: Afrika Mashariki na bara la Afrika ni ardhi ya ukuaji na fursa
Imechapishwa:
Cheza - 10:04
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili inazungumzia mjadala wa kiuchumi ulioandaliwa na ubalozi wa Ufaransa, ambapo mada ilikuwa ni je, ukanda wa Afrika Mashariki na bara la Afrika kwa ujumla ni ardhi ya ukuaji na fursa.