Wimbi la Siasa
Rais Zuma atikiswa na hoja ya kura ya Bunge kutokua na imani naye
Imechapishwa:
Cheza - 09:57
Bunge la Afrika Kusini linajadi hoja ya kutaka kupiga kura ya kutokua na imani na Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma hatua ambayo imezua mijadala huku mashirika ya kiraia, upinzani na vyama vya wafanyakazi vikimtaka Rais Zuma Ajiuzulu. Unajua ni kwa nini? makinika na Victor Robert Wile katika Makala ya Wimbi la Siasa ujue undani wa suala hilo.