Wimbi la Siasa
Agathon Rwassa ataka serikali ya umoja wa kitaifa nchini Burundi
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Kiongozi wa upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa ametaka iundwe serikali ya umoja wa kitaifa nchini Burundi kabla hajatangazwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la Burundi hatua ambayo imezua mijadala mikali ya kisiasa. Makala ya Wimbi la Siasa inakudadavulia kwa kina hali ya mambo nchini Burundi na Victor Robert Wile........