Gurudumu la Uchumi
Mpango wa matokeo makubwa sasa nchini Tanzania na jinsi unavyomaliza tatizo la uchukuzi
Imechapishwa:
Cheza - 10:08
Msikilizaji juma hili tunakueletea sehemu ya tatu na ya mwisho kuhusu mpango wa Serikali ya Tanzania wa BRN na namna ambavyo unalenga kuondoa umasikini kwenye taifa hilo kwa kuimarisha sekta ya uchukuzi.