Jukwaa la Michezo
Rais wa Fifa apendekeza fainali za Afrika kuchezwa baada ya miaka minne
Imechapishwa:
Cheza - 16:39
Rais wa shirikisho la kandanda duniani Fifa Gian Infantino amependekeza fainali za mataifa ya Afrika kuchezw akila baada ya miaka minne badala ya miaka miwili ya sasa. Tunajadili kwa kina katika jukwaa la michezo. Ungana na Fredrick Nwaka akiwa na wachambuzi wa soka Mustapha Mtupa, Samwel John na Bonface Osano