Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Matukio makubwa yatakayotokea viwanjani mwaka 2020

Imechapishwa:

Leo katika Makala ya Jukwaa la Michezo, tunakuletea baadhi ya matukio makubwa yatakayotokea viwanjani mwaka 2020, ikiwa ni pamoja na tuzo la mchezaji bora katika mchezo wa soka barani Afrika, fainali ya CAF Super Cup na michuano ya CHAN, bila kusahau mashindano ya riadha ya dunia mwaka 2020 nchini Kenya.

Taji la klabu bingwa barani Afrika
Taji la klabu bingwa barani Afrika MOHAMED EL-SHAHED / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.