Jukwaa la Michezo
Fifa yakabiliwa na shutuma kwa kuipa China uandalizi wa klabu bingwa ya dunia
Imechapishwa:
Cheza - 21:56
Shirikisho la kandanda duniani Fifa linakabiliwa na shutuma kali kwa kuipatia China uandalizi wa mashindano ya klabu bingwa ya dunia 2021 na michuano ya kombe la shirikisho yaendelea, Yanga na Gor Mahia zachechemea. Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Samwel John na Anangisye Msokwa kukuletea makala haya.