Jukwaa la Michezo
Taifa Stars yaishinda Burundi na kufuzu hatua ya makundi, kuelekea kombe la dunia 2022
Imechapishwa:
Cheza - 23:05
Timu ya Taifa ya Tanzania imeshinda Burundi kwa penati 3-0 na kufuzu hatua ya makundi katika mchakato wa kusaka timu tano za Afrika zitakazoshiriki fainali za kombe la dunia za mwaka 2022 nchini Qatar. Fredrick Nwaka ameunga na wachambuzi wa kandanda Bonface Osano na Samwel John kutathimini kwa kina