Jukwaa la Michezo
Simba SC yaaga michuano ya klabu bingwa barani Afrika huku Malindi ikifuzu raundi ya kwanza baada ya karibu miaka 30
Imechapishwa:
Cheza - 21:42
Simba ya Tanzania imeaga michuano ya klabu bingwa Afrika katika hatua ya awali huku Malindi ya Zanzibar ikifuzu hatua ya kwanza baada ya karibu miaka 30. Tunatathimini kwa kina katika makala haya. Ungana na Fredrick Nwaka akiwa na wadau wa michezo Aloyce Mchunga na Ally Saleh.