Jukwaa la Michezo
Mataifa ya Afrika mashariki na kati yana mikakati ipi kuelekea AFCON 2021
Imechapishwa:
Cheza - 20:31
Shirikisho la kandanda barani Afrika CAF limetangaza makundi ya mechi za m,chujo kuelekea fainali za Afrika za mwaka 2021. Je mataifa ya Afrika mashariki na kati ambayo hayakufanya uzuri katika fainali zilizopita yana mikakati gani kuelekea fainali za 2021? Unga na Fredrick Nwaka akiwa na wachambuzi wa kandanda Bonface Osano na Aloyce Mchunga