Jukwaa la Michezo
Misri, Cameroon zaondolewa michuano ya kuwania taji la Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 24:09
Mabingwa mara saba na wenyeji wa fainali za 32 za Afrika, Misri na mabingwa watetezi wa taji Cameroon zimetupwa nje ya michuano hiyo inayoendelea nchini Misri baada ya kufungwa katika hatua ya 16 bora. Fredrick nwaka ameungana na wachambuzi wa kandanda Juma Mudimi na Aloyce mchunga kutathimini kwa kina.