UFARANSA-REAL MADRID-OLYMPIQUE LYON
Ferland Mendy: Nina furaha kujiunga Real Madrid
Beki wa Klabu ya Olympique Lyon Ferland Mendy ameeleza furaha yake baada ya kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na miamba ya soka nchini Hispania.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Miaka 15 iliyopita mchezaji huyo mwenye miaka 24 amesajiliwa kwa mkataba wa miaka sita na anasema kuna wakati hakuamini ikiwa ndoto hiyo itafanikiwa baada ya miaka tisa iliyopita kufanyiwa upasuaji wa nyonga.
Mendy anaungana na wachezaji wengine mashuhuri waliosajiliwa na Real Madrid akiwemo Eden Hazardm Eder Militao na Luka Jovic.