TANZANIA-PRISONS-TFF
Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars aaga dunia
Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Said Mtupa amefariki dunia jana Mkoani Mbeya.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Ripoti zilizochapishwa na ukurasa wa Instagram wa Timu ya Tanzania Prisons aliyoitumikia kwa miaka mingi zimesema mchezaji huyo alipata ajali ya pikipiki katika eneo la Iwambi jijini Mbeya.
Katika maisha yake ya soka aliitumikia Prisons akiwa sambamba na kaka yake Sahabn Mtupa.