Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Hatua ya CAF kuongeza timu za Tanzania itatoa changamoto kwa timu za Afrika mashariki?

Imechapishwa:

Shirikisho la kandanda Afrika limeongeza timu za Tanzania katika michuano ya ngazi ya klabu barani Afrika. Je hatua hii ina maana gani katika soka la Tanzania na Afrika mashariki?

Kiungo wa Simba Clatous Chama akichuana na Joseph Ochaya wa TP Mazembe katika mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika
Kiungo wa Simba Clatous Chama akichuana na Joseph Ochaya wa TP Mazembe katika mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika Mtanzania
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.