Teknoloji ya Usaidizi wa video (VAR) kwa mara nyingine imeshindwa kuamua utata uliojitokeza katika mchezo wa fainali ya klabu bingwa Afrika baina ya Esperance ya Tunisia na Wydad casablanca ya Morocco. Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Bonface Osano na Juma Mudimi kutathimini kwa kina.
Vipindi vingine
-
Mashindano ya barani Afrika mwaka 2023 yakamilika nchini Ghana
Tuliyokuandalia Jumamosi hii ni pamoja na Kenya kuongoza chati ya medali Afrika Mashariki katika mashindano ya Afrika, Shirikisho la soka Cameroon yaondoa kashfa ya udanganyifu wa miaka dhidi ya Nathan Doualla, mkurugenzi mwandalizi wa WRC Safari Rally Jim Kahumbura ajiuzulu, droo ya soka mashindano ya Olimpiki na Nottingham Forest kupokonywa alama nne kutofuata sheria wa fedha Uingereza.23/03/202423:52 -
CAF CL: Tp Mazembe, Yanga na Simba wafahamu wapinzani wao wa robo fainali
Karibu katika makala ya jukwaa la michezo, leo tumekuandalia mengi tukianzia na droo ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa barani afrika, mashindano ya bara afrika pamoja na droo ya robo fainali katika mashindano ya klabu bingwa barani ulaya.16/03/202423:54 -
Ndondi : Anthony Joshua amshinda Francis Ngannou katika raundi ya pili
Karibu katika makala ya jukwaa la michezo leo tunaangazia kushindwa kwa mwana masumbwi Francis Ngannou na Anthony Joshua,kuanza kwa mashindano ya 13 ya bara Afrika nchini Ghana pamoja na Paris Saint Germain kufuzu katika robo fainali michuano ya klabu bingwa barani ulaya.09/03/202424:04 -
Kenya kujenga uwanja mpya kwa ajili ya michuano ya Afcon mwaka 2027
Karibu katika makala ya jukwaa la michezo leo tunaangazia kujengwa kwa uwanja mpya wa michezo nchini kenya, michuano ya klabu bingwa barani afrika pamoja na taifa la ufaransa kukamilisha ujenzi wa kijiji kitakachotumiwa na wanariadha katika michezo ya olimpiki.02/03/202423:51 -
Mashindano ya Tour du Rwanda mwaka 2024 yamekamilika hii leo jijini Kigali
Karibu katika makala jukwaa la michezo, leo hii tunaangazia kukamilika kwa mashindano ya kuendesha baiskeli ya Tour du Rwanda, mashindano ya mchezo ya gofu Magical kenya open pamoja na klabu ya Yanga na Tp Mazembe kufuzu katika hatua ya robo fainali katika michuano ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa barani afrika.25/02/202422:41