Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Michuano ya Kombe la Kagame mwaka 2019 itakuwa na ufanisi?

Imechapishwa:

Michuano ya Kombe la Kagame kwa klabu za Afrika Mashariki na Kati inatazamiwa kufanyika Julai nchini Rwanda. Je, mashindano haya yana ufanisi? Fredrick Nwaka ameungana na Katibu Mkuu wa Cecafa, Nicholas Musonye na wachambuzi wa kandanda Samwel John na Bonface Osano kutathimini kwa kina.

Azam FC ni mabingwa wa taji hilo walilotwaa mwaka jana kwa kushinda Simba SC katika mchezo wa fainali.
Azam FC ni mabingwa wa taji hilo walilotwaa mwaka jana kwa kushinda Simba SC katika mchezo wa fainali. The New Times/Rwanda
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.