Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Mchango wa wachezaji kutoka barani Afrika katika maendeleo ya soka barani Ulaya

Imechapishwa:

Ligi ya soka nchini Uingereza imemalizika kwa klabu ya Manchester City kuibuka mshindi mbele ya Liverpool. Wachezaji kutoka barani Afrika kama Mohammed Salah, Sadio Mane miongoni mwa wengine wamekuwa na mchango gani katika mafanikio ya soka barani Ulaya ?

Mmoja wa wachezaji kutoka barani Afrika, Sadio Mane, anayechezea klabu ya Liverpool nchini Uingereza.
Mmoja wa wachezaji kutoka barani Afrika, Sadio Mane, anayechezea klabu ya Liverpool nchini Uingereza. REUTERS/Russell Cheyne
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.