Jukwaa la Michezo
Cameroon mabingwa wapya wa taji la vijana Afrika chini ya miaka 17
Imechapishwa:
Cheza - 21:05
Timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17 ya Cameroon imetwaa ubingwa wa Afrika kwa kuishinda Guinea kwa mikwaju ya penati 5-3. Fredrick Nwaka ameungana na Victor Abuso na Aloyce Mchunga kutathimini kwa kina.