Jukwaa la Michezo
Fainali ya kombe la Afrika kwa vijana yaanza nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 24:46
Fainali ya vijana wasiozidi umri wa miaka 17 barani Afrika, imeanza jijini Dra es salaam nchini Tanzania.Wenyeji Serengeti Boys, wameanza vibaya kwa kufungwa na Eaglets ya Nigeria kwa mabao 5-4. Tunathathmini michuano hii kwa undani.