Jukwaa la Michezo
Tanzania na DRC zaungana na Uganda, Burundi na Kenya kucheza fainali za mataifa ya Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 23:40
Mechi za mkondo wa mwisho za kuwania kufuzu fainali za Afrika zimefikia tamati kwa mataifa ya Tanzania na DRC kuungana na Burundim Kenya na Uganda kushiriki fainali zitakazochezwa mwezi Juni nchini Misri. Fredrick nwaka na Victor Abuso wameungana na wachambuzi Juma Mudimi na Bonface Osano kukuletea kwa kina yanayojiri.