Jukwaa la Michezo
Simba SC na Gor Mahia zachanua michuano ya klabu barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 20:49
Hatua ya makundi ya michuano ya klabu bingwa Afrika na ile ya taji la shirikisho imekamilika kwa klabu za Simba ya tanzania na Gor Mahia ya Kenya kufuzu hatua ya robo fainali. Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi wa kandanda Bonface Osanokutoka Kisumu nchini Kenya na Juma Mudimi kutoka Tabora nchini Tanzania kutathimini kwa kina.