Jukwaa la Michezo
Gor Mahia na Simba zashindwa kufua dafu michuano ya klabu Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 21:52
Klabu za Afrika Mashariki zimesindwa kufua dafu wakati huu michuano ya klabu bingwa na kombe la shirikisho inaelekea kutamatika hatua ya makundi. Je zitafaulu kupata tiketi ya kufuzu robo fainali?Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Linet Matheka na Juma Mudimi kutathimini kwa kina.