Jukwaa la Michezo
Kukosekana kwa udhamini kunaathiri ushindani katika ligi ya Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 21:01
Ligi ya Tanzania imefikia mzunguko wa pili lakini kufikia sasa haina mdhamini mkuu baada ya kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kumaliza mkataba wake. Fredricxk Nwaka ameungana na wachambuzi Juma Mudimi na Aloyce Mchunga kutathimini kwa kina