Raia huyo wa Ureno, alipatikana na kosa hilo wakati alipokuwa kocha wa Real Madrid kati ya mwaka 2011 hadi 2012.
Viongozi wa mashataka wameamua kuwa badala ya kumfunga jela, atalipa faini ya karibu Euro Milioni mbili.
Mourihno amepata adhabu hiyo baada ya kushindwa kodi ya Euro Milioni 1.6 mwaka 2011 na nyingine Euro milioni 1.7 mwaka 2012.