Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Jamhuri ya Congo inaweza kuandaa fainali za Afrika?

Imechapishwa:

Nchi ya Congo-Brazaville inaripotiwa kuomba wenyeji wa kuandaa fainali za Afrika mwaka 2018. Je ina vigezo vya kuweza kuandaa fainali hizo? Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Boniface Osano na Anangisye Msokwa kutathimini kwa kina

Cameroon ndio washindi wa taji taji la Afcon mwaka jana, fainali zilizochezwa nchini Gabon
Cameroon ndio washindi wa taji taji la Afcon mwaka jana, fainali zilizochezwa nchini Gabon
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.