Jukwaa la Michezo
Tanzania yaweka rehani matumaini ya kufuzu Afcon huku Ghana ikichanua
Imechapishwa:
Cheza - 20:25
Tanzania imeshindwa na Lesotho kwa bao 1-0 na kuweka rehani matumaini ya kufuzu fainali za Afrika huku Ghana, Kenya, DRC zikiweka hai matumaini yao. Ungana na Fredrick Nwaka na Victor Abuso wakitathimini kwa kina