Jukwaa la Michezo
Nafasi ya klabu za Afrika Mashariki na Kati katika michuano ya klabu, Afrika mwaka 2018/2019
Imechapishwa:
Cheza - 21:16
Shirikisho la kandanda Afrika, CAF limetoa droo ya michuano ya klabu bingwa Afrika ni ile ya taji la Shirikisho. Je ipi nafasi ya klabu kutoka Afrika Mashariki na Kati kufua dafu katika michuano hiyo?Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Aloyce Mchunga na Boniface Osano kutathimini kwa kina