Jukwaa la Michezo
Mkutano wa baraza la nane la Fifa wamalizika Kigali, nchini Rwanda
Imechapishwa:
Cheza - 21:09
Mkutano wa nane wa baraza la Utendaji la Shirikisho la Kandanda duniani Fifa umetamatika nchini Rwanda wiki hii kwa maazimio mbalimbali kupitishwa. Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Boniface Osano na Samwel John kutathimini kwa kina