Jukwaa la Michezo
Michuano muhimu ya kuwania kufuzu fainali za Afrika yarindima
Imechapishwa:
Cheza - 24:15
Mechi za kuwania kufuzu fainali za Afrika za mwaka 2019 nchini Cameroon zimeendelea tena wikendi hii. Tanzania ikipoteza mbele ya Cape Verde, wakati Kenya ikipata sare mbele ya Ethiopia. Victor Abuso na Fredrick Nwaka wanajadili kwa kina