Jukwaa la Michezo
Cameroon yasema iko tayari kuandaa fainali za Afrika mwaka 2019
Imechapishwa:
Cheza - 21:03
Serikali ya Cameroon imesema iko tayari kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2019 licha ya kukabiliwa na changamoto za miundombinu. Victor Abuso ameungana na Fredrick Nwaka kukuletea uchambuzi wa kina kuhusu hili na matukio mengine ya kimichezo.