Jukwaa la Michezo
Mechi za robo fainali ya taji la klabu bingwa Afrika na taji la shirikisho zarindima
Imechapishwa:
Cheza - 55:32
Mechi za hatua ya robo fainali ya klabu bingwa Afrika na zile za taji la shirikisho zimekuwwa zikichezwa wikendi hii. Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Samwel John na Boniface Osano kuangazia kwa kina.