Jukwaa la Michezo
Mataifa ya Afrika yaendeleza mapambano ya kufuzu AFCON 2019
Imechapishwa:
Cheza - 23:41
Mwishoni mwa wiki hii, mataifa mbalimbali ya Afrika yapo viwanjani kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza fainali ya soka kuwania ubingwa wa Afrika mwaka 2019 nchini Cameroon. Tunakuletea uchambuzi wa kina.