Pata taarifa kuu
SOKA-TANZANIA

Simba na Mtibwa Sugar kuchuana kesho katika mchezo wa ngao ya hisani

Mabingwa watetezi wa Ligi ya Tanzania Simba SC kesho watashuka kwenye Uwanja wa CCM Kirumba kuchuana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa ngao ya hisani, unaoashiria kuanza kwa msimu mpya wa ligi hiyo.

Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi ni mmoja ya wachezaji watatu wa klabu hiyo walioteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji borta wa Ligi Kuu
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi ni mmoja ya wachezaji watatu wa klabu hiyo walioteuliwa kuwania tuzo ya mchezaji borta wa Ligi Kuu GOAL.COM
Matangazo ya kibiashara

Simba ni mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania na Mtibwa Sugar ni mabingwa wa Kombe la Shirikisho.

Timu zote mbili tayari zimewasili mkoani Mwanza kwa ajili ya mchezo huo unaotabiriwa kuwa na ushindani mkali.

Simba iliweka kambi nchini Uturuki na Mtibwa Sugar iliweka kambi Mkoani Morogoro kujiandaa na mchezo.

 

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.