Mwaka uliopita Olunga, aliitumikia Giroma ya Hispania kwa mkopo akitokea Guizhou ya China.
Ikiwa usajili huo utakamilika, Olunga atajiunga na wachezaji wengine waliokuwa wakicheza Ligi ya Hispania kuelekea nchini Japan.
Wachezaji wengine ni Andreas Iniesta, Fernando Torres na Lukas Podolski.
Kashiwa msimu uliopita ilimaliza ya 13 katika ya timu 18 katika Ligi Kuu ya soka nchini Japan