Pata taarifa kuu
SOKA-GHANA-RUSHWA

Waamuzi 74 wa soka nchini Ghana wasimamishwa kwa kuhusika na udanganyifu

Waamuzi 74 wa soka nchini Ghana, wamepigwa marufuku kuchezesha soka nchini Ghana baada ya kubainika kujihusisha na udanganyifu, hii inafuatia ripoti iliyofichuliwa na mwandishi wa habari, Anas Aremeyaw Anas

Waamuzi wa soka nchi Ghana
Waamuzi wa soka nchi Ghana soka25east
Matangazo ya kibiashara

Ripoti za kusimamishwa kwa waamuzi hao zimetolewa na chama cha waamuzi wa soka nchini Ghana (RAG) hadi uamuzi mwingine utakapotolewa na kamati ya waamuzi.

Orodha hiyo inajumuisha waamuzi wa kati na waamuzi wasaidizi,waamuzi wa ligi ya wanawake. Vilevile wamo waamuzi wenye beji ya shirikisho la kandanda duniani Fifa.

Orodha ya waamuzi hao ni kama ifuatayo.

Waamuzi wa Fifa
1.      Prosper Adii
2.      Issaka Afful
3.      Reginald Lathbridge
4.      Nathan Anafo
5.      Cecil Amatey Fleischer
6.      Adaari Latif

Waamuzi wasaidizi wa Fifa
7.      Dawood Ouedraogo
8.      Ibrahim Adam Badiu
9.      Eric Nantiere
10.     A. S. Malik
11.     David Adjin
12.     David Laryea
13.     Theresa Akogyam

Waamuzi wa ligi kuu
14.     Yaw Ametepey
15.     Dally Gagba
16.     William Agbovi
17.     Sylvester Adzoku
18.     S. B. Bortey
19.     Nuhu Liman
20.     Mclord Arhin
21.     Emmanuel Ansah
22.     Amofa Sarkodiee
23.     Justice Adu Poku
24.     Timothy Obuobisa
25.     Wiseman Ghansah
26.     Prince Amoah
27.     Samuel Sukah
28.     Samuel Kyeremeh
29.     Otis Oppong
30.     Awal Mohammed
31.     Daniel Dogbetor
32.     Uriah Glah
33.     Eku Boateng
34.     Solomon Mordey

Waamuzi wasaidizi wa Ligi Kuu
35.     Alhassan yahaya
36.     Haruna Bawa
37.     Safo Adade
38.     Samuel Borquaye
39.     Samuel Opoku Boateng
40.     Alhassan Badiu
41.     Ben Wormawor
42.     Emurana Salifu
43.     Joseph Ayambila
44.     Salifu Rahman
45.     Samuel Asiedu
46.     Joseph Sey
47.     Ashitey Armah
48.     Jason Nunoo
49.     Philip Darko
50.     Ashong Ibrahim
51.     Augustine Akugri
52.     Ben Samari
53.     Kennedy Bentil
54.     Freeman Awulo
55.     Nii Kotey Kotei

Waamuzi wa Ligi daraja la kwanza
56.     Heyford Adehe
57.     Dickson Wellington
58.     Abraham Poku
59.     Prince Coffie

Waamuzi wasaidizi wa Ligi daraja la kwanza
60.     Saviour Amevor
61.     Atsu Dogbey
62.     Charles Abloh
63.     Daniel Diawu
64.     Joseph Laryea
65.     E. B. Quaye

Waamuzi wa ligi ya wanawake
66.     Fulera Iddrisu Bamie
67.     Eugenia Asigri
68.     Richlove Awuah
69.     Esther Awo Detse

Waamuzi wastaafu
70.     Leanier Addy
71.     S. A. Quaye
72.     Wellington Joseph
73.     Umar Teni
74.     Charles Dowuona

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.