Jukwaa la Michezo
Cecafa na harakati za kuinua soka la wanawake Afrika Mashariki na Kati
Imechapishwa:
Cheza - 22:40
Baraza la vyama vya soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) na harakati za kuinua soka la wanawake baada ya kutamatika kwa michuano ya Cecafa kwa wanawake nchini Rwanda. Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Samuel John na Aloyce Mchunga kutathimini.