Jukwaa la Michezo
Ubelgiji yaishinda England na kutwaa ushindi wa tatu, Kombe la dunia
Imechapishwa:
Cheza - 22:36
Timu ya Taifa ya Ubelgiji imetwaa nafasi ya tatu katika fainali za Kombe la dunia baada ya kuishinda England mabao 2-0. Hata hivyo unafahamu mambo ya ndani na nje ya uwanja yaliyozungumza fainali za mwaka huu? Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi Victor Abuso na Kahozi Kosha akiwa Lubumbashi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo