Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Musonye: Viongozi wanahujumu soka Afrika Mashariki na Kati

Imechapishwa:

Msikilizaji wetu katika makala ya jukwaa la michezo Julai mosi tuliangazia kwa fainali za Kombe la dunia nchini Urusi na pia tumekuletea mahojiano na katibu mkuu wa Cecafa Nicholaus Musonye ambaye alieleza kwa kina kuhusu michuano ya Kombe la Kagame inayorindima nchini Tanzania.

Katibu Mkuu wa Cecafa Nicholas Musonye
Katibu Mkuu wa Cecafa Nicholas Musonye Kismaayodaily.com
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.