Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Teknolojia ya usaidizi wa video (VAR) imeleta tija katika fainali za Kombe la Dunia?

Imechapishwa:

Teknolojia ya usaidizi wa Video (VAR) imezalisha penati 14 kufikia sasa, katika fainali za kombe la dunia nchini Urusi. Je, imeleta tija katika mchezo wa kandanda? Fredrick Nwaka ameungana na wachambuzi kuangazia teknolojia hii.

Teknolojia ya VAR, itakayotumiwa wakati wa kombe la dunia nchini Urusi
Teknolojia ya VAR, itakayotumiwa wakati wa kombe la dunia nchini Urusi FIFA.COM
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.