Makala ya 21 ya fainali za Kombe la dunia imeanza Alahmisi ya Juni 14 mwaka 2018. Afrika inawakilishwa na mataifa matano ya Misri, Nigeria, Senegal, Tunisia na Morocco. Je mataifa ya Afrika yatatamba katika fainali hizi? Fredrick Nwaka amezungumza na wasikilizaji wetu, kupata maoni yao.
Vipindi vingine
-
Maoni ya waskilizaji kuhusu malalamiko ya wasanii wa Kenya kunyimwa mirabaha
Makala haya mtangazaji wa zamu Habari Rafiki Juma hili Ali Bilali anazungumzia kuhusu malalamiko ya wasanii nchini Kenya kuhusu kunyimwa mirabaha, baada ya kukusanywa na mamlaka husika, kinyume na ilivyo nchini Tanzania ambako licha ya changamoto zilizopo angalau wamepiga hatuwa kwenda mbele. Hali ikoje nchini mwako?06/03/202410:04 -
Maoni ya wasilizaji kuhusu siku ya wanawake duniani march 8
Makala haya ni maoni ya waskilizaji kuhusu siku ya kimataifa ya wanawake dunaini ambayo huadhilishwa kila ifikapo march 8 ya kila mwaka.11/03/202410:02 -
09:47
-
09:59
-
09:35