Jukwaa la Michezo
Shirikisho la soka Misri lasema Mohammed Salah atashiriki fainali za Kombe la Dunia
Imechapishwa:
Cheza - 20:48
Katika makala ya Jukwaa la Michezo Jumapili ya Mei 27 Fredrick Nwaka alingana na w achambuzi wa michezo Aloyce Mchunga na Ally Saleh Alberto kuangazia kuhusu hatima ya mshambuliaji Mohammed Salah kucheza fainali za kombe la dunia baada ya kuumia wakati akiitumikia klabu yake ya Liverpool, pia hatua ya Liberia kusema haitaiunga mkono Morocco katika harakati za kuwania kuandaa fainali za kombe la dunia mwaka 2026 na nchini Afrika Kusini Danny Jordan achaguliwa tena kuwa rais wa chama cha Soka licha ya kukabiliwa na tuhuma za unyanyasaji wa kingono.