Jukwaa la Michezo
Burundi yaanda mashindano ya Judo kwa vijana barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 24:01
Klabu ya soka nchini Kenya, Gor Mahia inachuana na Hull City ya Uingereza katika mchuano wa Kimataifa wa kirafiki jijini Nairobi. Michuano ya vijana wasiozidi miaka 20, kufuzu kucheza fainali ya Afrika mwaka 2019 inaendelea na mashindano ya vijana ya mchezo wa Judo yanamalizika jijini Bujumbura Burundi. Tunangaazia haya katika makala yetu Jumapili hii.