Jukwaa la Michezo
Simba yaishinda Yanga kujiweka katika nafasi nzuri ya kutwaa taji la ligi kuu msimu 2018
Imechapishwa:
Cheza - 23:06
Klabu ya Simba FC nchini Tanzania, inaelekea kushinda ligi kuu ya soka nchini Tanzania bara baada ya kuwashinda watani wao wa jadi Yanga kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.