Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Morocco ndio mabingwa wa michuano ya CHAN 2018

Imechapishwa:

Timu ya taifa ya soka ya Morocco imeshinda taji la CHAN kwa wachezaji wanaocheza soka nyumbani barani Afrika, baada ya kuishinda Nigeria mabao 4-0.Hii ndio mara kwanza kwa Morocco kuwa wenyeji na kushinda taji hili.

Wachezaji wa Morocco wakisherehekea ushindi wa taji la CHAN 2018
Wachezaji wa Morocco wakisherehekea ushindi wa taji la CHAN 2018 FADEL SENNA / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.