Jukwaa la Michezo
Mikakati ya kuimarisha mchezo wa riadha nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 23:32
Tanzania ni mojawapo ya mataifa ya Afrika Mashariki ambayo yameweka mikakati ya kuimarika zaidi katika mchezo wa riadha ili kushindana na mataifa jirani ya Kenya, Uganda na Ethiopia. Tunathmini hali ya mchezo wa riadha nchini Tanzania.