Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Soka la vijana nchini Tanzania

Imechapishwa:

Soka la vijana lina nafasi kubwa katika kuinua maendeleo ya mchezo huo nchini Tanzania. Kituo cha Mandozi Sports Academy kilichopo Kirumba Mkoani Mwanza, Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo kimejikita kukuza vipaji hasa kwa vijana chipukizi.Mwandalizi wa makala haya ni Fredrick Nwaka.

Wachezaji wa taifa Stars
Wachezaji wa taifa Stars http://tff.or.tz/news/
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.