Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

TP Mazembe yashinda taji la Shirikisho barani Afrika

Imechapishwa:

TP Mazembe imefanikiwa kushinda tena taji la Shirikisho barani Afrika, baada ya kuishinda SuperSport United ya Afrika Kusini kwa jumla ya mabao 2-1 baada ya fainali mbili kutafuta taji hilo.Fainali ya pili, Mazembe haikufungana na wapinzani wao Supersport United ya Afrika Kusini.Tunachambua ushindi huu

Wachezaji wa TP Mazembe wakisherehekea ushindi wa taji la Shirikisho barani Afrika
Wachezaji wa TP Mazembe wakisherehekea ushindi wa taji la Shirikisho barani Afrika PHILL MAGAKOE / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.