Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

TP Mazembe yaanza vema fainali ya kuwania taji la Shirikisho barani Afrika

Imechapishwa:

TP Mazembe imeanza vema fainali ya kuwania taji la Shirikisho barani Afrika baada ya kuishinda SuperSport United ya Afrika Kusini kwa mabao 2-1.Fainali ya pili itachezwa tarehe 25.

Christian Kouamé Koffi (Kushoto), Adama Traoré (Katikati) na Jonathan Bolingi (Kulia) wakiwa katika mchuano wa Kimataifa
Christian Kouamé Koffi (Kushoto), Adama Traoré (Katikati) na Jonathan Bolingi (Kulia) wakiwa katika mchuano wa Kimataifa stringer / AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.