Jukwaa la Michezo
TP Mazembe yaanza vema fainali ya kuwania taji la Shirikisho barani Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 23:04
TP Mazembe imeanza vema fainali ya kuwania taji la Shirikisho barani Afrika baada ya kuishinda SuperSport United ya Afrika Kusini kwa mabao 2-1.Fainali ya pili itachezwa tarehe 25.