Jukwaa la Michezo
Al Ahly na Wydad Cassablanca yatoa sare fainali ya kwanza ya kutafuta ubingwa wa CAF
Imechapishwa:
Cheza - 24:39
Klabu ya Al Ahly ya Misri na Wydad Casablanca ya Morocco ilitoka sare ya bao 1-1 katika mchuano wa kwanza wa fainali kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika. Tunajadili hili miongoni mwa masuala mengine kama mchezo wa riadha.