Jukwaa la Michezo
Nigeria na Misri zafuzu kombe la dunia nchini Urusi 2018
Imechapishwa:
Cheza - 24:06
Nigeria na Misri, zimefuzu katika fainali ya kombe la dunia nchini Urusi mwaka 2018. Hatua hii inakuja baada ya kushinda mechi zao mwishono mwa wiki iliyopita. Tunajadili hili kwa kina.